• Email za Serikali |
    • Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mawasiliano |
    • Mifumo |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • About us
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Administration
    • Muundo wa Halmashauri
    • Sehemu
      • Infastructure,Rural and Urban Development
        • Works
        • Roads
        • Rural & Urban Development
      • Health,Social Walfare & Nutrition Services
        • Health Services
        • Nutrition Services
        • Social Walfare
      • Industry ,Trade and Investment
        • Industry Development & Investment
        • Trade & Marketing
      • Pre-Primary & PPrimary Education
        • Academics
        • Special Needs Education
        • Adult & Non Formal Education
      • Seconadry Education
        • Academics
        • Statistics & Logistics
        • Special Needs
        • Adult & Non Formal Education
      • Community Development
        • Cross-Cutting Issues Cordination
        • Ngos's & Cbos's Coordination
      • Agriculture,Livestock and Fisheries
        • Agriculture
        • Livestock
        • Fisheries
      • Administration & Human Resources Management
        • Human Resource Management
        • Utawala
      • Planning and Coordination
        • Planning and Budgeting
        • Monitoring and Evaluation
      • LGA'S LAND ADMINISTRATION OFFICE-Ministry of Land ,Housing and Humman Settlement
    • Vitengo
      • Sports,Culture & Arts
      • ICT Unit
      • Government Communication Unit
      • Waste Management & Sanitation Unit
      • Legal Services Unit
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • Natural Resources & Environment Unit
      • Finance & Accounts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni za Biashara
    • Utoaji wa Lesseni za Vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa Leseni Za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya Asilimia Kumi(10%)
    • Upimaji wa Ardhi
    • Usajili wa Vikundi vya Kijamii
    • Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii(iCHF)
    • Utoaji wa Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo
    • Kulipia Tozo Za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
    • Suku ya Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Report
    • Vipeperushi
    • Miongozo Mbalimbali
    • By Laws
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba

Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii(iCHF)

Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa(iCHF)

Bima ya Afya Jamii iliyoboreshwa (iCHF) ni Bima ya Afya iliyoanzishwa na Serikali ya Tanzania chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali ya Mitaa (TAMISEMI) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto.

KUJIUNGA

Fika katika ofisi ya Serikali ya Mtaa, Kata au Ofisi ya Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro ukiwa na kitambulisho chochote.

GHARAMA

Kwa Mtu mmoja ni shilingi 30,000/= na kwa kaya ya watu wasiozidi sita (Watu wazima wawili na Watoto chini ya miaka 18 wanne) ni shilingi 30,000/= kwa mwaka mmoja.

HUDUMA

Huduma zinazotolewa kwa mwanachama  mwenye kadi ya CHF iliyoboreshwa kuanzia Zahanati, Kituo cha Afya, Hospitali ya Wilaya Mwisho Hospitali za Mikoa nchi nzima.

ZAHANATI

  • Ushuru wa daktari
  • Vipimo vya maabara
  • Dawa
  • Uangalizi
  • Huduma za kujifunguana zote zinazoendana na uzazi

KITUO CHA AFYA

  • Vipimo
  • Vya maabara
  • Vipimo vya picha(x-ray na ultra sound)
  • Dawa
  • Kulazwa
  • Upasuaji (wa kawaida na mdogo)
  • Huduma za kujifungua na zote zinazoendana na uzazi

HOSPITALI YA WILAYA

  • Ushauri wa daktali
  • Vipimo vya maabara
  • Vipimo vya picha (X-ray na ultra sound)
  • Dawa
  • Kulazwa
  • Upasuaji (wa kawaida, mdogo na mkubwa)
  • Huduma za kujifungua na zote zinazoendana na uzazi

HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA

  • Huduma za rufaa zilizopo kwenye ngazi ya mkoa
  • Kwa maelezo zaidi angalia kiambatanisho kifuatacho kipeperushi iCHF.pdf

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Shule za Vipaji maalumu,Ufundi,Bweni kawaida na shule maalumu 2023 December 14, 2022
  • wavulana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 simanjiro day schools December 14, 2022
  • wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro day schools December 14, 2022
  • Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro May 23, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • KIKAO KAZI CHA VIONGOZI WA WAFUGAJI NA WAKULIMA (W) SIMANJIRO

    January 05, 2023
  • Wasichana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro - Day schools

    December 14, 2022
  • Wavulana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro Day schools

    December 14, 2022
  • wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro Day Schools

    December 14, 2022
  • Ona vyote

Video

Mh.Dr Serera azindua kipindi cha Pili awamu ya Tatu ya TASAF Wilayani Simanjiro
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Government Mailing System
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Matokeo kidato cha sita 2021
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Government Mailing System

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa