• Email za Serikali |
    • Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mawasiliano |
    • Mifumo |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • About us
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Administration
    • Muundo wa Halmashauri
    • Sehemu
      • Infastructure,Rural and Urban Development
        • Works
        • Roads
        • Rural & Urban Development
      • Health,Social Walfare & Nutrition Services
        • Health Services
        • Nutrition Services
        • Social Walfare
      • Industry ,Trade and Investment
        • Industry Development & Investment
        • Trade & Marketing
      • Pre-Primary & PPrimary Education
        • Academics
        • Special Needs Education
        • Adult & Non Formal Education
      • Seconadry Education
        • Academics
        • Statistics & Logistics
        • Special Needs
        • Adult & Non Formal Education
      • Community Development
        • Cross-Cutting Issues Cordination
        • Ngos's & Cbos's Coordination
      • Agriculture,Livestock and Fisheries
        • Agriculture
        • Livestock
        • Fisheries
      • Administration & Human Resources Management
        • Human Resource Management
        • Utawala
      • Planning and Coordination
        • Planning and Budgeting
        • Monitoring and Evaluation
      • LGA'S LAND ADMINISTRATION OFFICE-Ministry of Land ,Housing and Humman Settlement
    • Vitengo
      • Sports,Culture & Arts
      • ICT Unit
      • Government Communication Unit
      • Waste Management & Sanitation Unit
      • Legal Services Unit
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • Natural Resources & Environment Unit
      • Finance & Accounts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni za Biashara
    • Utoaji wa Lesseni za Vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa Leseni Za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya Asilimia Kumi(10%)
    • Upimaji wa Ardhi
    • Usajili wa Vikundi vya Kijamii
    • Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii(iCHF)
    • Utoaji wa Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo
    • Kulipia Tozo Za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
    • Suku ya Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Report
    • Vipeperushi
    • Miongozo Mbalimbali
    • By Laws
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba

Kulipia Ushuru na Tozo za Halmashauri

 USHURU WA HUDUMA (SERVICE LEVY) 

                                                                    (Kulipia tozo za Halmashauri)

  • Kwa wateja wanaotumia mashine za EFD na kuwasilisha ritani mamlaka ya mapato Tanzania.


       HATUA

  • Mteja atawasilisha taarifa za mauzo yake ofisi ya mapato akiwa ameshaandaa kiwango/kiasi cha ushuru wa huduma anachotakiwa kulipa kwam kila robo mwaka, ambacho ni asilimia 0.3% ya mauzo yake.
  • Mteja atapatiwa namba ya kumbukumbu ya malipo kutoka ofisi ya mapato na kwenda kulipia benki/wakala wa benki.
  • Mteja atarudi ofisi ya mapato na stakabadhi ya benki na kupatiwa stakabadhi halali ya halmashauri.
  • Kwa wateja wasiotumia mashine za EFD na kutowasilisha ritani mamlaka ya mpato Tanzania, malipo yatakuwa kulingana na ada ya leseni.


       Ada ya leseni:

  • 0-50,000 ushuru wa huduma ni 30,000/=
  • 50,000- 100,000 ushuru ni 50,000/=
  • Zaidi ya 100,000 ushuru ni 75,000/=



                      UTOAJI WA TOZO / USHURU 

1. Mteja afike Halmashauri katika ofisi husika kulingana na maombi yake ya kupata fomu ya maombi.

     Mfano:

         Kibali cha Ujenzi       _   Ofisi ya Ujenzi

         Kibali cha Sherehe    –   Ofisi ya Utamaduni

         Kibali cha Biashara   –  Ofisi ya Biashara      


2.  Mteja ataenda ofisi ya mapato kupata namba ya kumbukumbu ya malipo (Control Number).       


3.  Mteja ataenda benk/wakala wa benki kufanya malipo.


4.  Mteja atarudi ofisi ya mapato kupata stakabadhi ya malipo ya Halmashauri.


5.  Mteja atarudi ofisi aliyoanzisha kufanya maombi (Na.1) kupata kibali alichoomba.   

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Shule za Vipaji maalumu,Ufundi,Bweni kawaida na shule maalumu 2023 December 14, 2022
  • wavulana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 simanjiro day schools December 14, 2022
  • wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro day schools December 14, 2022
  • Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro May 23, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • KIKAO KAZI CHA VIONGOZI WA WAFUGAJI NA WAKULIMA (W) SIMANJIRO

    January 05, 2023
  • Wasichana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro - Day schools

    December 14, 2022
  • Wavulana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro Day schools

    December 14, 2022
  • wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro Day Schools

    December 14, 2022
  • Ona vyote

Video

Mh.Dr Serera azindua kipindi cha Pili awamu ya Tatu ya TASAF Wilayani Simanjiro
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Government Mailing System
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Matokeo kidato cha sita 2021
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Government Mailing System

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa