• Email za Serikali |
    • Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mawasiliano |
    • Mifumo |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • About us
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Administration
    • Muundo wa Halmashauri
    • Sehemu
      • Infastructure,Rural and Urban Development
        • Works
        • Roads
        • Rural & Urban Development
      • Health,Social Walfare & Nutrition Services
        • Health Services
        • Nutrition Services
        • Social Walfare
      • Industry ,Trade and Investment
        • Industry Development & Investment
        • Trade & Marketing
      • Pre-Primary & PPrimary Education
        • Academics
        • Special Needs Education
        • Adult & Non Formal Education
      • Seconadry Education
        • Academics
        • Statistics & Logistics
        • Special Needs
        • Adult & Non Formal Education
      • Community Development
        • Cross-Cutting Issues Cordination
        • Ngos's & Cbos's Coordination
      • Agriculture,Livestock and Fisheries
        • Agriculture
        • Livestock
        • Fisheries
      • Administration & Human Resources Management
        • Human Resource Management
        • Utawala
      • Planning and Coordination
        • Planning and Budgeting
        • Monitoring and Evaluation
      • LGA'S LAND ADMINISTRATION OFFICE-Ministry of Land ,Housing and Humman Settlement
    • Vitengo
      • Sports,Culture & Arts
      • ICT Unit
      • Government Communication Unit
      • Waste Management & Sanitation Unit
      • Legal Services Unit
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • Natural Resources & Environment Unit
      • Finance & Accounts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni za Biashara
    • Utoaji wa Lesseni za Vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa Leseni Za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya Asilimia Kumi(10%)
    • Upimaji wa Ardhi
    • Usajili wa Vikundi vya Kijamii
    • Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii(iCHF)
    • Utoaji wa Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo
    • Kulipia Tozo Za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
    • Suku ya Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Report
    • Vipeperushi
    • Miongozo Mbalimbali
    • By Laws
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba

Utoaji wa Mikopo ya Asilimia Kumi(10%)

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

 

MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA KUTOA HUDUMA

 

Mifumo inayotumika katika Idara yetu ni  TOMSHA na Usajili wa Vikundi vya  Huduma ndogo za fedha,

MFUMO WA TOMSHA

TOMSHA (Tanzania output Monitoring system for HIV Aids) ni mfumo wa kitaifa wa ufuatiliaji taarifa zisizo za kitabibu katika masuala ya Virusi vya Ukimwi.

Lengo la mfumo ni kukusanya  taarifa zote za kitabibu kutoka kwa wadau ikiwa ni ufuatiliaji wa shughuli za mapambano dhidi ya UKIMWI Kuanzia ngazi ya jamii hadi Taifa.

Wadau mbalimbali wa Ukimwi hupewa utaratibu maalum ya kutolea taarifa zao na kuwasilishwa ngazi ya Wilaya kila robo. Taarifa huwasilishwa ngazi ya Halmashauri zinaingizwa kwenye mfumo wa Kieletroniki wa TOMSHA na kuzitumia Tume ya kudhibiti UKIMWI( TACAIDS)

Faida zake

Kujua idadi ya wanaofanya shughuli za mapambano dhidi ya UKIMWI Halmashauri

Kujua afya shughuli zinazofanywa na wadau wamefikia walengwa wangapi kwa umri na jinsi

Kujua watu wangapi wamefikiwa na huduma( mf kugawa kondom, chakula,vifaa vya shule)

Kurahisisha utoaji taarifa kutoka ngazi ya jami hadi Taifa.

Mfumo husaidia kujua changamoto zinazowapta wadau kupitia sehemu ya maoni ndani ya mfumo.

Mfumo unasaidia katika kupanga bajeti kwa sababu unajua mapungufu ya wadau na eneo gani kujengewa uwezo.


MFUMO WA USAJILI WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA(CMG)

Mfumo wa  usajili wa vikundi vya  huduma ndogo za fedha ( community micro finance group) ni mfumo unaosimamiwa  na BOT na kukasimisha mamlaka hayo katika serikali za Mitaa  Kwa mujibu wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018

 Kikundi cha Kijamii cha Huduma Ndogo za Fedha ni Kikundi kilichoanzishwa na kusimamiwa na Wanakikundi na kusajiliwa kwa mujibu wa Sheria hii kwa ajili ya kufanya shughuli za Huduma Ndogo za Fedha, ikiwemo kukusanya akiba kutoka kwa Wanakikundi na kutoa mikopo.

Mfumo wa usajili wa vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha una faida zifuatazo;-

  • Mfumo unasaidia kupunguza msongamano wa wananchi katika ofisi moja kwani unamruhusu mtu yoyote kufanya usajili akiwa mahali popote.
  • Mfumo unasaidia kupunguza gharama haswa za usafiri kwani hakuna haja yakufika katika ofisi za halmashauri kupata maelekezo dhidi ya makosa yaliyojitokeza wakati wa usajili kwa sababu maelekezo yote hutumwa kwenye mfumo huo
  • Pia mfumo unasaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa haswa ni yale ya mfumo wa hewa hususani ni katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona
  • Pia mfumo unasaidia kuzuia urudiaji wa wajina ya vikundi kwani huruhusu jina moja, ikitokea kikundi kitatumia jina hilo tena mfumo unauwezo wakumtaarifu mtumiaji kuwa jina limesha tumika na halitaruhusiwa kusajiliwa
  • Mfumo unasaidia kutunza kumbukumbu za vikundi kwani daftari la usajili lipo katika mfumo tayari
  • Mfumo unasaidia uandaaji wa haraka wa taarifa za vipindi mbalimbali kuhusiana na usajili wa vikundi

 

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Shule za Vipaji maalumu,Ufundi,Bweni kawaida na shule maalumu 2023 December 14, 2022
  • wavulana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 simanjiro day schools December 14, 2022
  • wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro day schools December 14, 2022
  • Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro May 23, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • KIKAO KAZI CHA VIONGOZI WA WAFUGAJI NA WAKULIMA (W) SIMANJIRO

    January 05, 2023
  • Wasichana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro - Day schools

    December 14, 2022
  • Wavulana waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Simanjiro Day schools

    December 14, 2022
  • wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro Day Schools

    December 14, 2022
  • Ona vyote

Video

Mh.Dr Serera azindua kipindi cha Pili awamu ya Tatu ya TASAF Wilayani Simanjiro
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Government Mailing System
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Matokeo kidato cha sita 2021
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Government Mailing System

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa