Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • About us
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Administration
    • Muundo wa Halmashauri
    • Sehemu
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Sheria ndogondogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Maktaba ya video
    • Habari

Uvuvi

SHUGHULI ZA UVUVI WILAYANI SIMANJIRO

Halmashauri ya Wilaya Simanjiro ni Halmashauri mojawapo kati ya halmashauri zinazojishughulisha na shughuli za  uvuvi.

Shughuli hizi za uvuvi zinafanyika zaidi katika Bwawa la nyumba ya mungu ambapo bwawa hili linatumika katika shughuli hizi 

kwa mikoa ya Manyara na Kilimanjaro.shughuli hizi za uvuvi katika wilaya ya simanjiro kwa kushirikiana na mkoa wa kilimanjaro,

hufanyika kwa msimu kwani kila baada ya miezi sita bwawa hili hufungwa ili kupisha samaki waweze kuzaliana na kukua 

ikiwa na madhumuni ya kuendeleza kizazi cha samaki hao.


Aidha katika shughuli hizi pia zinafanyika katika Bwawa la kidawashi lililoko karibu na mji mdogo wa mirerani.Pia katika bwawa hili

shughuli hizi hufanyika kwa kipindi cha mwaka mzima na halmashauri huingiza mapato ya ndani mengi kupitia chanzo hiki.

Matangazo

  • TUCHUKUE TAHADHARI YA KORONA January 25, 2021
  • RATIBA YA VIKAO VYA KAMATI MBALIMBALI NA WAHESHIMIWA MADIWANI February 14, 2021
  • TANGAZO KWA WAAJIRIWA WAPYA WA KADA ZA ELIMU NA AFYA MWENZI JUNE 2021 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIMANJIRO July 02, 2021
  • KITABU CHA MAOMBOLEZO March 18, 2021
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Kikao cha Dcc Wilayani Simanjiro

    December 02, 2021
  • Mkuu wa Wilaya Atoa Bodaboda kwa Vijana Wilayani Simanjiro

    November 24, 2021
  • Mkuu wa Wilaya atembelea mradi wa maji Ruvu-Orkesumet

    July 20, 2021
  • Ziara ya Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Karoline Albert Mthapula Katika Wilaya ya Simanjiro

    July 15, 2021
  • Ona vyote

Video

Mh.Dr Serera azindua kipindi cha Pili awamu ya Tatu ya TASAF Wilayani Simanjiro
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Mission and Vision
  • Matokeo ya kidato cha sita 2021
  • Matokeao darasa la nne 2020/2021
  • Matokeo kidato cha pili 2020/2021
  • Matokeo ya ualimu Mtihani wa ualimu (DSEE) 2021
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Matokeo kidato cha sita 2021
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa