• Email za Serikali |
    • Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mawasiliano |
    • Mifumo |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • About us
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Administration
    • Muundo wa Halmashauri
    • Sehemu
      • Infastructure,Rural and Urban Development
        • Works
        • Roads
        • Rural & Urban Development
      • Health,Social Walfare & Nutrition Services
        • Health Services
        • Nutrition Services
        • Social Walfare
      • Industry ,Trade and Investment
        • Industry Development & Investment
        • Trade & Marketing
      • Pre-Primary & PPrimary Education
        • Academics
        • Special Needs Education
        • Adult & Non Formal Education
      • Seconadry Education
        • Academics
        • Statistics & Logistics
        • Special Needs
        • Adult & Non Formal Education
      • Community Development
        • Cross-Cutting Issues Cordination
        • Ngos's & Cbos's Coordination
      • Agriculture,Livestock and Fisheries
        • Agriculture
        • Livestock
        • Fisheries
      • Administration & Human Resources Management
        • Human Resource Management
        • Utawala
      • Planning and Coordination
        • Planning and Budgeting
        • Monitoring and Evaluation
      • LGA'S LAND ADMINISTRATION OFFICE-Ministry of Land ,Housing and Humman Settlement
    • Vitengo
      • Sports,Culture & Arts
      • ICT Unit
      • Government Communication Unit
      • Waste Management & Sanitation Unit
      • Legal Services Unit
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • Natural Resources & Environment Unit
      • Finance & Accounts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Utoaji wa Leseni za Biashara
    • Utoaji wa Lesseni za Vileo
    • Utoaji wa Vibali vya Ujenzi
    • Utoaji wa Leseni Za Makazi
    • Utoaji wa Mikopo ya Asilimia Kumi(10%)
    • Upimaji wa Ardhi
    • Usajili wa Vikundi vya Kijamii
    • Uandikishaji wa Bima ya Afya ya Jamii(iCHF)
    • Utoaji wa Vitambulisho vya Wajasiriamali Wadogo
    • Kulipia Tozo Za Halmashauri
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
    • Suku ya Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Report
    • Vipeperushi
    • Miongozo Mbalimbali
    • By Laws
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba

Kujua Taratibu za kupima Ardhi

Kupima Ardhi

UPIMAJI WA ARDHI Wilaya Simanjiro

UTANGULIZI:


Upimaji na Ramani ni kitengo katika Idara ya Mipango Miji chenye jukumu la kupima ardhi pamoja na utayarishaji wa ramani (Survey plan) mbalimbali za mjini na vijijini. Ramani hizo ni msingi wa kubuni, kutekeleza na kuratibu mipango ya maendeleo juu ya ardhi katika sekta na kwa matumizi mbalimbali.


UPIMAJI (Cadastral Surveys):


Upimaji ni uwekaji wa kumbukumbu za kiwanja, mahali kilipo na ukubwa wake. Kumbukumbu hizi zinahifadhiwa ,kimchoro kwenye ramani (survey plan), kimahesabu (Co-ordinates) na kuweka alama za mipaka (beacons) kwenye kiwanja husika na kuidhinishwa,kusajiliwa na Wizara ya Ardhi nyumba na makazi.


KAZI ZA MPIMAJI (Surveyor):


•Kazi za mpima ardhi zinajumuisha; kuweka mipaka ya viwanja vipya.

•Kurudishia mipaka ya viwanja ambavyo vimeshapimwa na mipaka yake(beacions) zimepotea

•Kuchora ramani za Kiwanja/Viwanja.


TARATIBU ZA UPIMAJI


Ardhi ni eneo la juu la uso wa dunia. Ardhi hii ni mali ya Serikali na msimamizi wake Mkuu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ili mwananchi aweze kupewa hati Miliki ya kiwanja (ardhi), anatakiwa awe na muhtasari wa Kamati ya Maendeleo ya Kata unaodhibitisha uhalali wa ardhi hiyo.


Maombi ya kupimiwa ardhi yanatumwa kwa Afisa Ardhi wa Wilaya Simanjiro. Afisa Ardhi atafanya yafuatayo:-

•Kukagua eneo kuwa ni huru, halina mgogogro wa mipaka, halijawekwa rehani,

•Ardhi husika ina mchoro wa Mipango Miji ulioidhinishwa na Wizara ya Ardhi nyumba na makazi (Approved town Plan drawing)

•Ardhi husika haina upimaji uliokwisha fanyika kwa lengo la umilikishwaji ardhi.


Baada ya Afisa Ardhi kukamilisha ukaguzi wake, mpima wa Wilaya atatoa maelekezo ya upimaji (Survey Instruction) kwa mpimaji yeyote atakayehusika na zoezi la upimaji.


Baada ya upimaji kukamilika, nyaraka zote huwakilishwa kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani kukaguliwa, kuthibitishwa na kusajiliwa kama kumbukumbu rasmi ya mipaka husika


Ili mwananchi aweze kupewa hati miliki ardhi Wilaya Simanjiro hana budi kuwa na kumbukumbu ya mipaka ya ardhi hiyo mahali ilipo na ukubwa wake. Pia anatakiwa awe na muhtasari wa Kamati ya Maendeleo ya Kata uliosaniwa na viongozi wahausika,kwa anayemiliki ardhi hiyo kimila au kwa aliyenunua ili kuthibitisha mmiliki wa ardhi hiyo kisheria.


Mwananchi huomba kupimiwa ardhi kwa lengo la kufanikisha umilikishwaji chini ya Sheria Sura Na. 390 (Sheria ya upimaji ardhi) na mchoro wa upimaji uliyoidhinishwa ndio uthibitisho rasmi wa mipaka ya ardhi iliyopimwa.


Faida za upimaji ni kama ifuatavyo:-

•Kuondoa tatizo la migogoro ya mipaka kwa kusuluhishwa kisheria.

•Kupata mikopo mbalimbali kwa kutumia raslimali ya ardhi iliyopimwa.

•Urasimishaji.

•Utambulisho wa mahali kiwanja kilipo.

•Kuongezeka dhamani ya kiwanja.

•Kupanga matumizi ya ardhi ili kuchangia maendeleo katika Wilaya yetu.

Imeandaliwa na Kitengo cha Ardhi(w)

Simanjiro

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa Shule za Vipaji maalumu,Ufundi,Bweni kawaida na shule maalumu 2023 December 14, 2022
  • wavulana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 simanjiro day schools December 14, 2022
  • wasichana waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2023 Wilaya ya Simanjiro day schools December 14, 2022
  • Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro May 23, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Nyerere day

    October 14, 2024
  • Mkutano wa wadau kuhusu utoaji wa maoni ya Dira ya Maendeleo ya mwaka 2050

    July 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU

    July 16, 2024
  • Kifo Cha Raisi awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi 2024

    February 29, 2024
  • Ona vyote

Video

Mh.Dr Serera azindua kipindi cha Pili awamu ya Tatu ya TASAF Wilayani Simanjiro
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Government Mailing System
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Matokeo kidato cha sita 2021
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Government Mailing System

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa