• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • People of Simanjiro
      • Hali ya Hewa
      • Economic Activities
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Moto
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
      • Kata na vijiji
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Law
      • Procurement and supply
      • Election
      • ICT
    • Idara
      • Administration and Management
      • Agriculture and Irrigation
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Land,Natural Resources and Environment
      • Community Development
      • Finance and Trade
      • Works and
      • Envirnment and Cleanliness
      • Water
    • Departiment/Units Activities
    • Linki ya Machapisho
    • Kata na vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mineral Extraction
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Uchumi,ujenzi na mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Fedha ,uongozi na mipango
      • Huduma za jamii
      • Bodi ya ajira
      • Bodi ya maji ya mji wa Orkesumet
      • Alat mkoa
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • By Laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Report
  • Kituo cha Habari
    • Notice to the Public
    • National and Office gallery
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Law

TAARIFA ZA UTENDAJI WA KITENGO CHA SHERIA- HALMASHAURI YA SIMANJIRO

Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W) kupitia kitengo cha Sheria inatekeleza shughuli zifuatazo:

  • Kuiwakilisha Halmashauri ya Wilaya Mahakamani kwa mashauri yanayofunguliwa na Halmashauri au pindi Halmashauri inaposhtakiwa;
  • Kuandaa mikataba ya utoaji huduma kwa Halmashauri ya Wazabuni  mbalimbali na kuisimamia.
  • Kusimamia Kanuni za Kudumu za Halmashauri za Mwaka 2013 na kufanyia mabadiliko ili ziendane na wakati kukidhi mahitaji ya sasa;
  • Kutoa elimu kwa watendaji wa Vijiji na Kata kuhusu  Utawala Bora katika kutoa maamuzi hasa kuzingatia haki ya kusikiliza, kutokuwa na upendeleo na kuzingatia usawa katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
  • Kuanzisha na kufanyia mabadiliko ya Sheria ndogo za Halmashauri za Ukusanyaji Ushuru na kutoa mapendekezo ya mabadiliko kupitia ngazi ya Halmashauri, Mkoa na Wizara.
  • Kutoa tafsiri kwa Masuala mbalimbali ya Sheria isipokuwa tafsiri ya Katiba, Mikataba ya Kimataifa, na kazi nyingine zinazobaki kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi yake.
  • Kupitia mikataba na kufanya marekebisho kabla ya kusainiwa kwa utekelezaji kwa ajili ya utoaji huduma kwa wananchi inayoletwa na Watendaji wa Vijiji na Kata, na Walimu wa kuu na Wakuu wa Shule na Wasimamizi wa Zahanati.
  • Kutoa elimu za uandaaji wa Sheria ndogo za Vijiji, kufanya marekebisho na maboresho na kuziwasilisha katika Vikao vya Halmashauri ya Wilaya ili kuidhinishwa na kuanza kutumika.
  • Kutoa ushauri kwa Halmashauri kwa Mashauri ya nidhamu za Watumishi ikiwa ni pamoja na kuzisimamia Sheria za Utumishi wa Umma kwa uadilifu.
  • Kutatua migogoro ya ardhi baina ya Mtu na Kijiji au Kijiji na Kijiji.
  • Kuhakikisha Sheria za fedha na Mapato ya Serikali za Mitaa zinatekelezeka kwa uadilifu ikiwa pamoja na kutoa elimu kwa wananchi ya tabia ya kulipa kodi mbalimbali kwa Serikali.
  • Kulinda na kutetea maslahi ya Serikali kwa uaminifu mkubwa na uadilifu.

Naomba kuwasilisha:

Louis Marco Mwenempazi

Mwanasheria (W) Simanjiro.

Matangazo

  • TUCHUKUE TAHADHARI YA KORONA January 25, 2021
  • RATIBA YA VIKAO VYA KAMATI MBALIMBALI NA WAHESHIMIWA MADIWANI February 14, 2021
  • FUNGUKA KWA WAZIRI March 11, 2021
  • KITABU CHA MAOMBOLEZO March 18, 2021
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • maombolezo

    March 18, 2021
  • Kamati Ya Fedha ,Uongozi na Mipango Yakagua Miradi ya Jengo la Utawala Wilayani Simanjiro

    March 05, 2021
  • Katibu Tawala (W) Bi. Zuwena Ommary akikabithi baadhi ya Taulo za kike kwa Wanafuzi wa Shule za Msingi pamoja na Kuelimisha waazazi umuhimu wa Taulo hizo kwa watoto wa kike waliopo shuleni

    March 01, 2021
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Wilayani Simanjiro

    March 01, 2021
  • Ona vyote

Video

BILIONEA LAIZER AKABIDHI SHULE ALIYOIJENGA KWA SERIKALI
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Matokeo kidato cha nne 2020/2021
  • Matokeao darasa la nne 2020/2021
  • Matokeo kidato cha pili 2020/2021
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet

    Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania

    Simu: Tel:027-29707889

    Simu: +255-758350936

    Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za siri
    • Kanusho
    • Website Map

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa