• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Simanjiro District Council
Simanjiro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • People of Simanjiro
      • Hali ya Hewa
      • Economic Activities
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Moto
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Vitengo
      • Internal Audit
      • Law
      • Procurement and supply
      • Bees
      • Election
      • ICT
    • Idara
      • Administration and Management
      • Agriculture and Irrigation
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Health
      • Land,Natural Resources and Environment
      • Community Development
      • Finance and Trade
      • Works and
      • Envirnment and Cleanliness
      • Water
    • Departiment/Units Activities
    • Linki ya Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mineral Extraction
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Huduma za Halmashauri
      • Mipango na Mazingira
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • By Laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Report
  • Kituo cha Habari
    • Notice to the Public
    • National and Office gallery
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Ukaguzi wa Ndani

KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI (INTERNAL AUDIT UNIT)

Utangulizi

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ni kitengo ambacho kina jukumu la kutoa ushauri ili kusaidia idara nyingine ndani ya Halmashauri kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Madhumuni ya kitengo

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina wajibu wakufanya kaguzi juu ya utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri pamoja na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri na kutoa ushauri kwa afisa masuuli unaolenga kuboresha huduma za Halmashauri pamoja taratibu sahihi na zinazokubalika za usimamizi wa masuala ya fedha ili kufikia malengo yaliyopangwa.

Muundo wa kitengo

Kitengo cha ukaguzi wa ndani kinaongozwa na Mkaguzi mkuu wa Ndani ambaye anawajibika kwa Afisa masuuli akisaidiwa na Wakaguzi wa Ndani.

Majukumu ya kitengo cha Ukaguzi wa Ndani.

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina majukumu yafuatayo:-

Kupitia mifumo mbalimbali ya udhibiti (“internal control systems”) na kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli juu ya uboreshaji wake.

Kupanga na kufanya ukaguzi kwa kuzingatia maeneo yenye vihatarishi vitakavyosababisha kutofikia malengo ya Halmashauri (High risk areas).

Kusaidia uwongozi wa Halmashauri kuboresha utendaji ili malengo yaweze kufikiwa kwa kutoa ushauri mbalimbali kama inavyohitajika .

Kupitia kanuni, sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa na wizara/serikali na kutoa ushauri juu ya utekelezaji wake.

Kukagua na kutoa ushauri kwa afisa masuuli juu ya matumizi, utunzaji na usimamizi wa rasilimali zote za serikali.

Kukagua utendaji/utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri na kushauri.

Kuratibu mafunzo ya kanuni na sheria za fedha manunuzi pamoja na uthibiti wa vihatarishi.

Kazi nyingine zinazoelekezwa na afisa masuuli.

Kuandaa mpango mkakati wa Ukaguzi.

Kuratibu kazi za ukaguzi

Kufanya ukaguzi wa akaunti za vijiji, Hospitali na mashule yanayopokea fedha kutoka Halmashauri

Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo.

Kupitia taarifa za ukaguzi wa ndani na nje kwa kushirikiana na uwongozi.

Kupitia na kutoa taarifa juu ya majibu ya menejimenti kwenye taarifa za ukaguzi wa ndani na kuisaidia menejimenti kwenye utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa kwenye taarifa mbalimbali na ufuatiliaji kwenye utekelezaji wa mapendekezo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Kupitia na kutoa taarifa juu ya uwezo/ufanisi wa udhibiti uliopo kwenye mifumo iliyounganishwa na kompyuta.

  • Kazi zilizofanyika na ambazo zinaendelea kufanyika katika Halmashauri ya wilaya ya simanjiro:
  • Ukaguzi wa fedha zilizochangishwa toka kwa wananchi kwaajili ya ujenzi wa maabara kwa kata zote za wilaya ya Simanjiro.
  • Ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maji iliyokwisha kamilika ili kuona kama thamani ya fedha imefikiwa ‘value for money’
  • Ukaguzi wa fedha za utalii wa picha katika vijiji vya Emboreet na Loibosoit.
  • Ukaguzi wa fedha za elimu bila malipo katika shule za sekondari na msingi katika wilaya ya Simanjiro
  • Ukaguzi wa akaunti za maji, afya, elimu, barabara, Amana, maendeleo na matumizi mengine kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017
  •  
  • Kitengo kwa sasa kina watumishi wafuatao;
NA
JINA
CHEO
1
Menfrid N. Nyakasi
DIA
2
Oscar A. Pessa
IA
3
Lonyamali N. kivuyo
IA

Changamoto za Kitengo:

  • Kitengo kuwa na watumishi wachache.
  • Kitengo kupangiwa bajeti ndogo Hivyo kushindwa kutekeleza mpango kazi wake.

Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro yaadhimisha siku ya Mapinduzi 12.1.2021 kwa upandaji wa miti

    January 12, 2021
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI WILAYANI SIMANJIRO

    November 11, 2020
  • Ona vyote

Video

BILIONEA LAIZER AKABIDHI SHULE ALIYOIJENGA KWA SERIKALI
video Zaidi

Fika kwa Haraka

  • Matokeo kidato cha nne 2020/2021
  • Matokeao darasa la nne 2020/2021
  • Matokeo kidato cha pili 2020/2021
  • Mission and Vision
  • Organization Structure
  • Completed Projects

Kiungo Muunganisho

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Idara ya Habari-Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet

    Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania

    Simu: Tel:027-29707889

    Simu: +255-758350936

    Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za siri
    • Kanusho
    • Website Map

copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa