Wilaya iko katika eneo la nyanda kame na mbuga, hivyo hupata mvua za wastani wa kati ya milimita 400 na 500 kwa mwaka. Wilaya ina vipindi viwili vya mvua ambavyo ni vuli na masika. Mvua za vuli hunyesha kuanzia mwezi Novemba hadi Desemba na masika hunyesha kuanzia mwezi Machi hadi Mei.
Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet
Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania
Simu: Tel:027-2552225
Simu: +255-758350936
Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz
copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa