MALIASILI
Halmashauri ya wilaya ya simanjiro imezungukwa na pori kubwa la hifadhi za wanyamapori kama vile tarangire nk
kupitia hifadhi hizo za wanyama shughuli za uwindaji halali pia ni moja ya shughuli zinazofanywa na wilaya simanjiro
na halmashauri inajipatia mapato yake ya ndani kupitia shughuli hii muhimu
Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet
Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania
Simu: Tel:027-29707889
Simu: +255-758350936
Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz
copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa