TAARIFA YA IDARA YA AFYA KWA AJILI YA TOVUTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIMANJIRO
UTANGULIZI
Idara ya Afya ina jumla ya vituo 32 vya kutolea huduma ikiwa ni Vituo vya afya vitatu (3) na zahanati 29 za Serikali.
Vituo vya afya vipo katika Kata za Orkesumet, Naberera na Mirerani. Zahanati zipo katika vijiji vya Namalulu, Sukuro, Terrat,Narakauwo, Loiborsiret, Kimotorok, Loiborsoit A, Oljoro No.5, Kilombero, Naisinyai, Nomeut, Lengasit, Msitu wa Tembo, Magadini, Ngorika, Nyumba ya Mungu, Lemkuna, Ochoronyori, Landani, Losokonoi, Ngage, Loiborsoit B, Ruvu Remit, Gunge, Kitwai A ,Kitwai B, Engonongoi, Loborsiret na Orkesumet.
Idara ya afya ina timu ya uendeshaji ya huduma za afya wilaya(CHMT) ambayo ina timu mbalimbali kama timu ya dharura(emergency team),kamati ya kupitia taarifa(technical team),timu ya kukagua matumizi ya dawa(drug auditing team)kamati ya matibabu(therapeutic committee),timu ya kuboresha huduma za afya(quality improvement team) n.k
Maandalizi ya timu ya dharura
WATUMISHI
Idara inakada mbalimbali kama ifuatavyo kwenye jedwali;
Sna
|
Aina ya kada
|
Idadi |
1.
|
Madaktari
|
5 |
2.
|
MadaktariWasaidizi
|
6 |
3.
|
Matabibu
|
23 |
4.
|
Tabibu Msaidizi
|
1 |
5.
|
Makatibu wa Afya
|
2 |
6.
|
Maafisa Afya
|
7 |
7.
|
Muuguzi Mkuu
|
1 |
8.
|
MaafisaWauguziWasaidizi
|
30 |
9.
|
Wauguzi
|
47 |
10.
|
Wahudumu wa Afya
|
65 |
11.
|
Mfamasia
|
1 |
12.
|
MteknolojiaMaabara
|
1 |
13.
|
Wasaidizi wa Maabara
|
2 |
14.
|
Mteknolojia Madawa
|
1 |
15.
|
Mtunza Kumbukumbu
|
2 |
16.
|
Afisa Ustawi wa Jamii
|
1 |
17.
|
Wapishi
|
3 |
18.
|
Dobi
|
1 |
|
Jumla
|
199 |
MADHUMUNI YA IDARA YA AFYA NI KUTOA HUDUMA ZA TIBA, KINGA NA USHAURI KWA JAMII KWA KUPITIA VITENGO VYAKE.
Katika idara ya Afya kunavitengo 16
1. Kitengo cha Afya Chanjo
Kitengohikihufanyashughulizifutazo;
2.KITENGO CHA DAWA
Kitengo cha dawa kinatoa huduma za;
2. Kitengo cha Kifua Kikuu/Ukoma
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
3. Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto
Kitengo hiki hufanya shughuli zifuatazo;
Jengo la upasuaji katika kituo cha afya Orkesumet
4. Kitengo cha Afya Mazingira
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
5. Kitengo cha Maabara
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
6. Kitengo cha Macho
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
Daktari akifanya upasuaji wa macho
7. Kitengo cha Afya ya kinywanameno
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
8. Kitengo cha iCHF
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
Uhamasishaji ukifanyika wa wanajamii kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ulioboreshwa
9.Kitengo cha BIMA YA AFYA
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
10. Kitengo cha Ustawiwa jamii
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
11.Kitengo cha Ukimwi
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
12.Kitengo cha Huduma kwa wagonjwa majumbaniwanaoishi na maambukizi ya VVU
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
13.Kitengo cha Lishe
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
14. Kitengo cha kifua Kikuu naUkimwi
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
15.Kitengo cha Tiba Mbadala
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
16.Kitengo cha Magonjwa yasiyopewa kipaumbele
Kitengohikihufanyashughulizifuatazo;
17.KITENGO CHA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA(NON COMMUNICABLE DISEASES-NCD)
CHANGAMOTO
Idara ya afya inakabiliwa na changamoto zifuatazo
MIKAKATI YA BAADAE
Katika kukabiliana na changamoto hizo idara ya afya katika wilaya ya Simanjiro imedhamiria kufanya yafuatayo:
Kaimu mganga mkuu wa wilaya na uongozi wa kijiji cha loosoito katika uhamasishaji kuongeza vituo vya kutolea huduma za afya.
Halmashauri ya Wilaya Simanjiro Bomani street-Orkesumet
Sanduku la Posta: P.o Box 9596,Orkesumet,Simanjiro,Manyara,Tanzania
Simu: Tel:027-2552225
Simu: +255-758350936
Barua pepe: ded@simanjirodc.go.tz
copyright@2016 Halmashauri ya Wilaya Simanjiro.Haki zote zimehifadhiwa